Picha: Mawe yenye umbo kama mafuvu ya binadamu huko Morogoro

Tembea uone, tembea uelimike! hapa nakupeleka kwenye kijiji cha Kinole huko Mkoani Morogoro, eneo ambalo liko kwenye Mlima Uluguru na lengo... thumbnail 1 summary
Tembea uone, tembea uelimike! hapa nakupeleka kwenye kijiji cha Kinole huko Mkoani Morogoro, eneo ambalo liko kwenye Mlima Uluguru na lengo langu ni kukuonyesha mawe yenye muonekano wa mafuvu ya binadamu.


Ndo ujue nchi hii kwa vivutio vya utalii ‘inatisha’, karibu!