Picha: Muonekano wa uwanja wa ndege Muscat baada ya kukamilika ujenzi

Waswahili wanasema vidole kwenye kiganja havilingani kuna utafauti mkubwa kati ya dole gumba na chanda. Ninasema hivi kwa sababu ya mao... thumbnail 1 summary
Waswahili wanasema vidole kwenye kiganja havilingani kuna utafauti mkubwa kati ya dole gumba na chanda.

Ninasema hivi kwa sababu ya maoni ya baadhi ya wadau wa usafiri wa anga ambao wamejaribu kulinganisha mipango ya ujenzi wa terminal III ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam JNIA na ujenzi wa uwanja wa ndege wa Muscat, Oman.

Takwimu zinaonyesha kuwa baada ya uwanja wa ndege wa JNIA kukamilika utakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni 6 wakati uwanja wa Muscat, Oman ukikamilika hatua ya kwanza utakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni 12.


Ni haki kulinganisha ujenzi wa uwanja wa ndege JNIA na uwanja wa Oman? Wadau mtaamua wenyewe ila nilichotaka hapa ni kuwaonyesha picha za mwonekano wa uwanja huo utakapokamilika.


 Muonekano wa uwanja kwa juu
 Ukumbi kwa wanaowasili uwanjani hapo
 Sehemu ya ukaguzi wa passport
 Sehemu ya kuingilia
 Mnara wa kuongozea ndege
 muonekano wa juu
 Sehemu ya kuchukulia mizigo
 Barabara za kuingia uwanjani
 Muonekano wa juu
 Taarifa za ukubwa na uwezo wa uwanja huo
Sehemu ya kupark ndege

www.tabianchi.blogspot.com