Ukatili: Punda wakatwa miguu na kuachwa vilema, inadaiwa kwato zao imegeuka biashara

Watu wasiofahamika wameanzisha vitendo vya kikatili vya kukata kwato za punda na kuziuza Mkoani Singida. Japo haijafahamika mara moja h... thumbnail 1 summary
Watu wasiofahamika wameanzisha vitendo vya kikatili vya kukata kwato za punda na kuziuza Mkoani Singida.

Japo haijafahamika mara moja huenda kuziuza wapi na zinatumika katika shughuli ipi lakini kuna haja ya jeshi la polisi na mamlaka nyingine kuchunguza na kubaini ukweli wa jambo hilo.


Tazama picha ya namna punda hao wanavyokatwa kwato zao, tukio hili limetokea hivi karibuni Mkoani Singida