Picha: Ajali ya ndege Gongo la Mboto
Ndege ndogo ya kukodi ikiwa imeanguka mapema leo katika eneo la pugu majohe ambapo inasadikika kuwa watu wawilui waliokuwa wanafunzi wa urubani wamjeruhiwa katika ajali hiyo.
Fuatilia taarifa zaidi za ajali hii kupitia tabianchi