Picha: Watalii wanavyoua twiga ili wapige nao picha

Tujikumbushe na tukio hili la watalii wanaofanya utalii wa uwindaji kwa kuua twiga na kupiga nao picha kisha kuiacha mizoga ya wanyama hao... thumbnail 1 summary
Tujikumbushe na tukio hili la watalii wanaofanya utalii wa uwindaji kwa kuua twiga na kupiga nao picha kisha kuiacha mizoga ya wanyama hao.
Pamoja na kwamba huchukua baadhi ya viongo na kuondoka navyo bado lengo kuu la kuwaua twiga hao linabaki kuwa ni kupiga nao picha.

Matukio haya ya watalii kuua twiga kwa lengo la kupiga nao picha yameripotiwa kutokea mara kadhaa kwenye miaka ya hivi karibuni kwenye nchi za Afrika Kusini, Namibia na Zimbabwe na inadhaniwa kufanyika pia katika nchi nyingine za Afrika.Entire families go on the hunts and appear to relish having their pictures taken with the dead giraffe
Familia nzima katika picha ya pamoja na mzoga wa twiga

The animals are near extinction and are no longer found in countries like Nigeria, Mali and Angola
Twiga huyu kishakufaa na uwindaji wa namna hii inaweza kuwa na madhara makubwa na kutishia kuisha kwa wanyama hao kama ilivyo kwa nchi za Nigeria, Mali na Angola
Tourist hunters often take the skin home or get taxidermists to mount the heads so they can be taken home as trophies

The hunts typically last three-to-five days and sees tourists using .458 Winchester Magnum rifles to kill the animals

It is legal to hunt the giraffes in South Africa, Zimbabwe and Namibia - where they have greater numbers of giraffes