WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 16/10/2013.
[Mikoa ya Tanga,
Dar-es-Salaam na Pwani]:
[Mikoa ya Ruvuma, Mtwara na
Lindi]:
[Maeneo ya Morogoro
Kusini]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Kagera na Mara ]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Iringa, Mbeya na Rukwa]:
[Mikoa ya Singida,
Dodoma na Kigoma]:
[Mikoa ya Shinyanga, Mwanza na Tabora]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Maeneo ya Morogoro
Kaskazini]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
30°C
|
15°C
|
12:18
|
12:24
|
D'SALAAM
|
33°C
|
21°C
|
12:05
|
12:15
|
DODOMA
|
32°C
|
16°C
|
12:19
|
12:28
|
KIGOMA
|
30°C
|
18°C
|
12:44
|
12:52
|
MBEYA
|
28°C
|
14°C
|
12:28
|
12:39
|
MWANZA
|
31°C
|
18°C
|
12:32
|
12:37
|
TABORA
|
34°C
|
18°C
|
12:32
|
12:40
|
TANGA |
31°C
|
23°C
|
12:07
|
12:15
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
23°C
|
12:05
|
12:15
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki;
kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa
Pwani
ya kaskazini na kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa pwani ya
kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Ijumaa:
18/10/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 16/10/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.