Picha: Ndege za fastjet aina ya Airbus A319 zikiwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl Nyerere (JNIA)

Kutana na ndege za fastjet! Hapa zimepigwa picha kwenye uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam mapema wiki hii. Ndege tatu a... thumbnail 1 summary
Kutana na ndege za fastjet! Hapa zimepigwa picha kwenye uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam mapema wiki hii. Ndege tatu aina ya Airbus A319 zina umwezo wa kusafiri umbali mkubwa na pia zinasafiri kuelekea vituo vinne hapa Tanzania na Kimataifa zinapaa kwenda Afrika ya Kusini.
Photo: Kutana na ndege za fastjet! Hapa zimepigwa picha kwenye uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam mapema wiki hii. Ndege zetu tatu aina ya Airbus A319 zina umwezo wa kusafiri umbali mkubwa na pia zinasafiri kuelekea vituo vinne hapa Tanzania na Kimataifa zinapaa kwenda Afrika ya Kusini. - Julius Nyerere International Airport, Dar Es Salaam, Tanzania.


Meet the fastjet fleet! Here they are pictured at Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam earlier this week. Our three Airbus A319s cover a lot of distance, flying on the ever-growing fastjet network of routes within Tanzania and internationally to South Africa.