Moto waleta kizaazaa Mikumi National Park

Msululu wa magari ukiingia ene o la Hifadhi ya Taifa ya Mbuga za Wanyama  Mikumi iliyopo Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro            ... thumbnail 1 summary
Msululu wa magari ukiingia ene o la Hifadhi ya Taifa ya Mbuga za Wanyama  Mikumi iliyopo Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro

                 Magari yakiingia mbugani

 Moto Mkubwa uliowashwa kwenye misitu ya Hifadhi ya Mbuga za Wanyama  Mikumi ukiendelea kupamba moto hadi eneo la Barabara kuu ya Morogoro-lringa iliyokatiza ndani ya hifadhi hiyo. Pichani  basi dogo la abiri likikatiza kwenye moto huo jambo ambalo ni hatari
 Magari yamelazimika kuwasha taa mchana kufuatia moshi mkubwa kutanda kwenye barabara hiyo
 Awari  wanyama walioneka kando kando mwa barabara hiyo lakini kutokana na moto huo mkubwa wanyama hao wamekimbia eneo hilo la barabara,
Haikufahamika  sababu za wahusika kuchoma moto Hifadhi hiyo