WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 12/07/2014.
[Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani
na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Mara na Kagera]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kigoma, Tabora,
Rukwa, Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Morogoro, Mtwara,
Lindi na Ruvuma]:
[Mikoa ya Mwanza,
Shinyanga, Geita na Simiyu]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe
na Katavi]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
ANGALIZO
UPEPO MKALI UNAOFIKIA KM 40 KWA SAA NA MAWIBI MAKUBWA YANAYOFIKIA
MITA 2.0
YANATARAJIWA KATIKA UKANDA
WOTE WA PWANI NA ZIWA VICTORIA:
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
20°C
|
12°C
|
12:42
|
12:36
|
D'SALAAM
|
30°C
|
19°C
|
12:37
|
12:19
|
DODOMA
|
25°C
|
13°C
|
12:49
|
12:35
|
KIGOMA
|
30°C
|
17°C
|
01:11
|
01:01
|
MBEYA
|
18°C
|
04°C
|
01:03
|
12:39
|
MWANZA
|
28°C
|
16°C
|
12:55
|
12:51
|
TABORA
|
28°C
|
13°C
|
12:59
|
12:49
|
TANGA |
29°C
|
21°C
|
12:34
|
12:24
|
ZANZIBAR
|
28°C
|
23°C
|
12:37
|
12:19
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 40; kutoka Kusini kwa saa kwa
Pwani
ya kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki kwa saa kwa
Pwani
ya kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Jumatatu
14/07/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 12/07/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.