WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 15/07/2014.
[Mikoa ya Kigoma, Tabora,
Rukwa, Dodoma na Singida]: [Mikoa ya
Kagera,Mara,Mwanza,Shinyanga,Geita na Simiyu]:
[Mikoa ya Morogoro, Mtwara,
Lindi na Ruvuma]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe
na Katavi]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga
na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
ANGALIZO
UPEPO MKALI UNAOFIKIA KM 40 KWA SAA NA MAWIBI MAKUBWA YANAYOFIKIA
MITA 2.0 YANATARAJIWA KATIKA UKANDA WOTE WA PWANI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
22°C
|
14°C
|
12:42
|
12:36
|
D'SALAAM
|
30°C
|
19°C
|
12:37
|
12:19
|
DODOMA
|
27°C
|
14°C
|
12:49
|
12:35
|
KIGOMA
|
28°C
|
16°C
|
01:11
|
01:01
|
MBEYA
|
24°C
|
10°C
|
01:03
|
12:39
|
MWANZA
|
30°C
|
16°C
|
12:55
|
12:51
|
TABORA
|
31°C
|
14°C
|
12:59
|
12:49
|
TANGA |
28°C
|
22°C
|
12:34
|
12:24
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
24°C
|
12:37
|
12:19
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa
kasi ya km 40 kwa saa kwa ukanda
wote wa Pwani.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Alhamisi
17/07/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 15/07/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.