WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 22/07/2014.
[Mikoa ya Geita, Kagera na
Mara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Morogoro kusini (Mahenge),
Mtwara na Tanga]:
[Sehemu za miinuko ya Mbeya
na Njombe]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dodoma, Dar es
Salaam , Pwani na Lindi]:
[Mikoa ya Singida, Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Katavi, Rukwa,
Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Ruvuma, Iringa, Mbeya
na Njombe]:
[Mikoa ya Tabora, Simiyu na
Kigoma]:
]Mkoa wa Morogoro
kaskazini]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio (Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
24°C
|
15°C
|
12:42
|
12:38
|
D'SALAAM
|
32°C
|
19°C
|
12:37
|
12:21
|
DODOMA
|
28°C
|
16°C
|
12:50
|
12:36
|
KIGOMA
|
29°C
|
18°C
|
01:12
|
01:01
|
MBEYA
|
23°C
|
08°C
|
01:03
|
12:41
|
MWANZA
|
29°C
|
17°C
|
12:55
|
12:53
|
TABORA
|
30°C
|
16°C
|
01:00
|
12:50
|
TANGA |
30°C
|
22°C
|
12:35
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
23°C
|
12:37
|
12:21
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini kwa
kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani yote.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Alhamis:
24/07/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 22/07/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.