WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 01/10/2014.
[Mikoa ya Mwanza,
Shinyanga, Mara na Geita]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na
ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Kigoma, Tabora na
Kagera]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Dar es Salaam,
Tanga, Pwani na Morogoro]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Njombe, Mbeya,
Ruvuma na Rukwa]:
[Mikoa ya Iringa, Dodoma na
Singida]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA
NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
26°C
|
16°C
|
12:20
|
12:27
|
D'SALAAM
|
31°C
|
20°C
|
12:08
|
12:17
|
DODOMA
|
30°C
|
17°C
|
12:22
|
12:31
|
KIGOMA
|
29°C
|
20°C
|
12:46
|
12:55
|
MBEYA
|
28°C
|
08°C
|
12:31
|
12:40
|
MWANZA
|
27°C
|
17°C
|
12:35
|
12:41
|
TABORA
|
33°C
|
20°C
|
12:34
|
12:43
|
TANGA |
30°C
|
21°C
|
12:09
|
12:18
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
21°C
|
12:08
|
12:17
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 20 kwa saa kutoka
Kusini-Mashariki kwa Pwani
ya
Kaskazini na kwa kasi ya km 30 kwa saa kutoka Mashariki
kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo hadi makubwa kiasi
Matazamio kwa siku ya Ijumaa:
03/10/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 01/10/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.