Picha: Wachezaji wa timu ya Sunderland walipotupia jezi zilizoandikwa 'Visit Tanzania' wakati wa mechi kati yao na Chelsea

Jitihada hizi za Tanzania kutangaza utalii kwa kupitia soka nimezikubali sana, mdogo mdogo tutafika tu. watazame wachezaji wa timu ya Sunder... thumbnail 1 summary
Jitihada hizi za Tanzania kutangaza utalii kwa kupitia soka nimezikubali sana, mdogo mdogo tutafika tu. watazame wachezaji wa timu ya Sunderland wakipasha misuli ndani ya uzi wenye matangazo ya kuhamasisha watalii kuitemelea Tanzania na kushuhudia vivutio mbalimbali