WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 15/01/2015.
[Mikoa ya Mbeya, Iringa
Njombe na Ruvuma]:
[Mikoa ya Rukwa na
Morogoro(Kusini)]:
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na
ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
|
[Mikoa ya Tabora na
Kigoma]:
[Mikoa ya Dodoma Singida]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
|
[Mikoa ya Mara, Shinyanga
na Mwanza]:
[Mikoa ya Geita na Kagera]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi,
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
|
[Mikoa ya Dar es Salaam,
Pwani na Morogoro(Kaskazini)]:
[Mkoa wa Tanga, Visiwa vya
Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na
Manyara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
|
TAHADHARI
UPEPO MKALI WENYE KASI INAYOZIDI KM 40 KWA SAA
NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOZIDI MITA 2 VINATARAJIWA KATIKA UKANDA WOTE WA PWANI
YOTE.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
31°C
|
15°C
|
12:34
|
12:46
|
D'SALAAM
|
33°C
|
25°C
|
12:17
|
12:43
|
DODOMA
|
32°C
|
22°C
|
12:32
|
12:56
|
KIGOMA
|
28°C
|
22°C
|
12:57
|
01:19
|
MBEYA
|
27°C
|
15°C
|
12:36
|
01:10
|
MWANZA
|
28°C
|
20°C
|
12:49
|
01:00
|
TABORA
|
30°C
|
21°C
|
12:45
|
01:07
|
TANGA |
34°C
|
23°C
|
12:20
|
12:42
|
ZANZIBAR
|
33°C
|
26°C
|
12:17
|
12:43
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kutoka Kaskazini-Mashariki kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa
Pwani ya
Kaskazini na
kutoka Kaskazini kwa kasi ya km
50 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
17/01/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 15/01/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.