Yule
chui anayeonekana kwenye video ya Rich Mavoko ‘Pacha Wangu’
iliyoshutiwa nchini Afrika Kusini na kuongozwa na Adam Juma amefanya
staa huyo kupata dili la Ubalozi wa WWF.
Baada ya kupost picha Instagram akisaini mkataba wa ubalozi, Mavoko ameelezea jinsi dili hilo lilivyomfata.
“WWF ni shirika lisilo la kiserikali linalo jihusisha na Utunzaji wa Mazingira.
Swali: ilikuaje wakanichagua kua Balozi wao?
Jibu: waliangalia video ya #PachaWangu nilivyomtumia Chui walipenda na kuvutiwa na mimi.
2.Walipenda kufanya kazi na kijana ili niweze kuwashawishi vijana wenzangu kutunza Mazingira.”
Swali: ilikuaje wakanichagua kua Balozi wao?
Jibu: waliangalia video ya #PachaWangu nilivyomtumia Chui walipenda na kuvutiwa na mimi.
2.Walipenda kufanya kazi na kijana ili niweze kuwashawishi vijana wenzangu kutunza Mazingira.”