Nimeiangalia
sana picha hapo chini, sikuelewa, ni utalii wa aina gani huu, kweli
tunahitaji pesa lakini ndio kwa namba hii? hapana, tukiendekeza hela
tutauenzi hata utumwa wa kikoloni. tazama mwenyewe labda utakuwa na
mtazamo tofauti.
Created By Sora Templates & Blogger Templates | Gooyaabi Templates