WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 17/03/2015.
[Mikoa ya Mtwara, Lindi na
Morogoro(kusini)]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa,
Ruvuma na Njombe]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo
na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar es Salaam,
Pwani na Morogoro (kaskazini)]:
[Mikoa ya Kigoma, Tabora,
Katavi na Rukwa]:
[Mikoa ya Mwanza, Geita,
Bukoba na Simiu]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Tanga,pamoja na
visiwa vya Unguja na Pemba ]:
[Mikoa ya Singida, na
Dodoma]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha
na Manyara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Shinyanga na Mara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
ANGALIZO:
VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO
YA MIKOA YA KIGOMA,
GEITA, MWANZA, SHINYANGA NA UKANDA WA PWANI YA KUSINI.
VIWANGO
VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango cha juu cha joto
|
Kiwango cha chini cha joto
|
Mawio (Saa)
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA
|
30°C
|
15°C
|
12:42
|
12:47
|
D'SALAAM
|
31°C
|
23°C
|
12:29
|
12:38
|
DODOMA
|
30°C
|
20°C
|
12:43
|
12:52
|
KIGOMA
|
33°C
|
21°C
|
01:07
|
01:14
|
MBEYA
|
23°C
|
14°C
|
12:52
|
12:59
|
MWANZA
|
32°C
|
20°C
|
12:59
|
01:01
|
TABORA
|
31°C
|
18°C
|
12:55
|
01:03
|
TANGA |
34°C
|
25°C
|
12:30
|
12:38
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
25°C
|
12:29
|
12:38
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kwa kasi ya km 20 kwa saa; kutoka Kusini-Mashariki Kwa Pwani
ya Kaskazini na
kutoka Mashariki Kwa Pwani ya Kusini
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo.
Matazamio kwa siku ya Alhamisi:
19/03/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 17/03/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.