WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 18/05/2015.
[Mikoa ya Mara, Geita,
Kagera na Mwanza]:
[Rukwa, Mikoa ya Shinyanga
na Kigoma]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Tanga, Dar es
Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na
vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Ruvuma, Tabora,
Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Mbeya, Katavi,
Iringa na Njombe]:
[Mikoa ya Morogoro, Mtwara
na Lindi]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
22°C
|
15°C
|
12:31
|
12:29
|
D'SALAAM
|
32°C
|
22°C
|
12:26
|
12:12
|
DODOMA
|
29°C
|
18°C
|
12:38
|
12:28
|
KIGOMA
|
29°C
|
21°C
|
01:01
|
12:53
|
MBEYA
|
25°C
|
13°C
|
12:51
|
12:33
|
MWANZA
|
29°C
|
21°C
|
12:44
|
12:44
|
TABORA
|
30°C
|
17°C
|
12:49
|
12:41
|
TANGA |
30°C
|
24°C
|
12:24
|
12:16
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
25°C
|
12:26
|
12:12
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kutoka Kusini kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani yote.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Jumatano:
20/05/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 18/05/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.