Katibu
Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka (mwenye flana ya
mistari), akisalimiana na Watumishi wa Wizara ya Uchukuzi na taasisi
zake jana katika banda la Wizara ya Uchukuzi katika maonyesho ya Wiki ya
Mazingira Mkoani Tanga. Maonyesho hayo yanafanyika kitaifa mkoani
Tanga.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka akimsikiliza Afisa
Mazingira kutoka Wizara ya Uchukuzi, Yusuph Abdulkadir Muya wakati akimueleza matumizi ya kifaa cha kupimia mvua jana katika maonyesho ya Wiki ya Mazingira yanayofanyika Mkoani Tanga.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi,
Dkt Shaaban Mwinjaka(mwenye flana ya mistari), akiangalia asali katika banda la
Halmashauri ya Wilaya ya Handeni wakati alipotembelea banda la Wizara hiyo na
mabanda mbalimbali jana katika katika maonyesho ya Wiki ya Mazingira Mkoani
Tanga. Maonyesho hayo yanafanyika kitaifa mkoani Tanga.
(Picha
na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Uchukuzi).