WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 02/06/2015.
[Mikoa ya Mara, Mwanza na Kagera]:
[Mikoa ya Shinyanga, Geita na
Kigoma]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, Mvua
katika Maeneo machache na vipindi vya
jua.
|
[Mikoa ya Dar es Salaam,
Morogoro na Pwani]:
[Mkoa wa Tanga pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, Mvua
nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Rukwa, Katavi, Mbeya,
Iringa na Njombe]:
[Mikoa ya Kigoma, Tabora,
Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Ruvuma, Mtwara na
Lindi]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio (Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
20°C
|
16°C
|
12:35
|
12:28
|
D'SALAAM
|
31°C
|
21°C
|
12:30
|
12:11
|
DODOMA
|
28°C
|
16°C
|
12:42
|
12:27
|
KIGOMA
|
30°C
|
19°C
|
01:04
|
12:53
|
MBEYA
|
24°C
|
07°C
|
12:56
|
12:31
|
MWANZA
|
27°C
|
19°C
|
12:47
|
12:43
|
TABORA
|
30°C
|
15°C
|
12:52
|
12:41
|
TANGA |
30°C
|
23°C
|
12:27
|
12:16
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
23°C
|
12:30
|
12:11
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani ya
Kusini na Kutoka Kusini kwa Pwani ya Kaskazini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Alhamisi:
04/06/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 02/06/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.