WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 17/07/2015.
[Mikoa ya, Dar es Salaam,
Tanga na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika Maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Singida, Tabora,
Rukwa, Kigoma na Mara]:
[Mikoa ya Lindi,
Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Kagera, Mwanza,
Shinyanga na Geita]:
[Mikoa ya Morogoro, Njombe,
Mbeya na Iringa]:
[Mikoa ya Dodoma, Katavi, Mtwara
na Ruvuma]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
22°C
|
11°C
|
12:42
|
12:36
|
D'SALAAM
|
32°C
|
19°C
|
12:37
|
12:19
|
DODOMA
|
26°C
|
15°C
|
12:49
|
12:35
|
KIGOMA
|
30°C
|
18°C
|
01:11
|
01:01
|
MBEYA
|
22°C
|
05°C
|
01:03
|
12:39
|
IRINGA
|
23°C
|
10°C
|
12:52
|
12:32
|
MWANZA
|
30°C
|
16°C
|
12:55
|
12:51
|
TABORA
|
29°C
|
14°C
|
12:59
|
12:49
|
TANGA |
29°C
|
22°C
|
12:34
|
12:24
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
23°C
|
12:37
|
12:19
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi
ya km 30 kwa saa; kwa
Pwani yote.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumapili:
19/07/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 17/07/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.