WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 08/07/2015.
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mkoa wa Tanga]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar es Salaam,
Morogoro na Pwani]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Mbeya na Njombe]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Mara, Kagera, Mwanza,
Shinyanga na Geita]:
[Dodoma, Singida, Kigoma na
Tabora]:
[Mikoa ya Lindi, Mtwara na
Ruvuma]:
[Mikoa ya Rukwa, Katavi na Iringa]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
TAHADHARI
UPEPO MKALI UNAOZIDI KM 40 KWA SAA NA MAWIBI MAKUBWA YANAYOZIDI MITA
2.0 VINATARAJIWA KATIKA UKANDA WOTE WA PWANI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
24°C
|
15°C
|
12:41
|
12:35
|
D'SALAAM
|
31°C
|
22°C
|
12:36
|
12:18
|
DODOMA
|
28°C
|
14°C
|
12:48
|
12:34
|
KIGOMA
|
32°C
|
18°C
|
01:11
|
12:59
|
MBEYA
|
22°C
|
06°C
|
01:03
|
12:37
|
IRINGA
|
26°C
|
13°C
|
12:51
|
12:31
|
MWANZA
|
31°C
|
18°C
|
12:53
|
12:50
|
TABORA
|
30°C
|
13°C
|
12:59
|
12:47
|
TANGA |
30°C
|
23°C
|
12:34
|
12:22
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
24°C
|
12:36
|
12:18
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini -Mashariki kwa kasi
ya km 40 kwa saa kwa Pwani ya yote.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Ijumaa:
10/07/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 08/07/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.