Taarifa zisizo za kweli za uwepo wa mvua kubwa na upepo mkali katika maeneo ya Dar es salaam, Pwani, Tanga, Unguja na Mtwara

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania inawatahadharisha wananchi kuhusu taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya Kijamii inayohusu uwepo wa u... thumbnail 1 summary

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania inawatahadharisha wananchi kuhusu
taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya Kijamii inayohusu uwepo wa upepo
mkali utakao vuma kwa kasi ya km 123.7 kwa saa na mvua kubwa kwa siku ya
tarehe 29/08/2015 kuanzia saa 7 mchana. Taarifa hii si ya kweli na kuwa
Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) haijatoa TAHADHARI hiyo.