WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PROSESA MAGEMBE AZINDUA RIPOTI YA MAPENDEKEZO YA KUBORESHA UTAWALA WA MISITU NCHINI TANZANIA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe akizungumza wakati wa kongamano la kujadili uhifadhi wa misitu pamoja na kuzindua... thumbnail 1 summary
Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe akizungumza wakati wa kongamano la kujadili uhifadhi wa misitu pamoja na kuzindua ripoti ya uvunaji wa misitu na mapendekezo ya kuboresha utawala wa misitu nchini Tanzania.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe(katikati) akizindua ripoti ya matokeo ya utafiti pamoja na mapendekezo ya kuboresha utawala wa misitu nchini Tanzania, Wa kwanza kulia ni Mwakilishi wa Bodi ya Jumuiko la Maliasili Tanzania (TNRF), Charles Meshack na kulia ni Msaidizi wa Balozi wa Finland nchini Tanzania, Simo-Pekka Parviainen
Msaidizi wa Balozi wa Finland nchini Tanzania, Simo-Pekka Parviainen akizungumza jambo wakati wakuzindua ripoti ya uvunaji wa misitu pamoja na kujadili ripoti hiyo
  Mwakilishi wa Bodi ya Jumuiko la Maliasili Tanzania( TNRF), Charles Meshack akizungumza jambo wakati wa kongamano lililowahusisha wadau mbalimbali wa misitu ili kujadili ripoti ya uvunaji wa misitu nchini Tanzania.
Mtafiti na Mshauri wa masuala ya Misitu, Kihana Lukumbuzya akiwasilisha ripoti ya uvunaji wa misitu kwa waziri wa Maliasili na Utalii pamoja na wadau mbalimbali wa masuala ya misitu(hawapo pichani) katika ukumbi wa Utalii leo jijini Dar es Salaam
   Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe(wa kwanza kushoto) pamoja na wadau mbalimbali wakifuatilia uwasilishwaji wa ripoti ya uvunaji wa misitu iliyokuwa ikiwasilishwa na Mtafiti na Mshauri wa masuala ya Misitu, Kihana Lukumbuzya.
Baadhi ya wadau wakifuatilia mada
Picha ya Pamoja
Mkurugenzi wa Jumuiko la Maliasili Tanzania( TNRF), Joseph Olila akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mapendekezo yaliyopatikana katika utafiti pamoja na kuboresha utawala wa misitu nchini Tanzania
Baadhi ya wadau wa misitu wakifuatilia mada kwenye kongamano hilo lililofanyika leo jijini Dar es Salaam