MMOJA wa mashuhuda wa tukio hilo akiangua kilio kwa uchungu baada ya polisi kukiweka kiumbe hicho kwenye mfuko warambo na kutoweka na...
12:48
|
MMOJA wa mashuhuda wa tukio hilo akiangua kilio kwa uchungu baada ya
polisi kukiweka kiumbe hicho kwenye mfuko warambo na kutoweka nacho |
|
Askali hao wakieleka kwenye gari na mwili wa marehemu huyo waliyemshika mkononi |
|
Mtumishi wa usafi hostel la wanafunzi wa SUA Bw
Andrew Seluhimbo[aliyenyoosha kidole] akijianda kupanda gari la polisi
kueleka kituo kwa maelezo zaidi |
|
Hili ndilo shimo ambalo kichanga hicho kilikutwa akikiwa tayari kimeshakufa |
|
Afisa wa jeshi la polisi mkoa wa morogoro[mwenye nguo nyeusi akitazama
shimo hilo kwa majonzi makubwa,hata hivyo baadae Afisa huyo wa polisi
alipata fursa ya kuzungumza na baadhi ya wanafunzi waliokuwepo eneo la
tukio nakuonyesha kukelwa nakitendo hicho"nyinyi mnanafasi ya kuzaa na
kurudi tena chuoni kwa msomo kufanya kitendo hiki ni jambo la ajabu sana
kwangu"aliema Afisa huyo wa polisi |
|
Hiki ni kibao kinachoelekeza kuingia hostel hiyo ya kike |
HIKI ndio kichAnga cha kiume kinachodaiwa kutupwa Chooni na msomi wa chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine[SUA]