KIONGOZI WA KUNDI LA MAKHIRIKHIRI SHUMBA RATSHEGA KUTEMBELEA MBUGA ZA WANYAMA TANZANIA

JAMAA AKIWA KWENYE NGUO ZA KAWAIDA UNAWEZA USIMJUWE VILE?   Anaitwa Shumba Ratshega ni kiongozi wa kundi la Makhirikhiri toka nchi... thumbnail 1 summary
JAMAA AKIWA KWENYE NGUO ZA KAWAIDA UNAWEZA USIMJUWE VILE?
 
Anaitwa Shumba Ratshega ni kiongozi wa kundi la Makhirikhiri toka nchini Botswana ambe hivi karibuni atakuja nchini kupumnzika na familia yake pamoja kutembelea mbuga za wanyama Mkoani Arusha na Mwanza.