WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 26/08/2013.
[Mikoa ya Dar Es
Salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Kigoma, Shinyanga
na Tabora]:
[Mikoa ya Dodoma, Singida na Rukwa]:
[Mikoa ya Iringa Mbeya,
na Morogoro]:
[Mikoa ya Mara, Kagera
na Mwanz a]:
[Mikoa ya Lindi, Mtwara na
Ruvuma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA
NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
12°C
|
12:38
|
12:37
|
D'SALAAM
|
32°C
|
19°C
|
12:30
|
12:22
|
DODOMA
|
27°C
|
14°C
|
12:43
|
12:37
|
KIGOMA
|
31°C
|
17°C
|
01:06
|
01:02
|
MBEYA
|
22°C
|
09°C
|
12:55
|
12:43
|
MWANZA
|
31°C
|
16°C
|
12:51
|
12:51
|
TABORA
|
30°C
|
15°C
|
12:54
|
12:50
|
TANGA |
28°C
|
21°C
|
12:29
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
23°C
|
12:30
|
12:22
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma; kwa kasi ya km 30 kwa saa,
kutoka Kusini kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka
Kusini-Mashariki kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumatano:
28/08/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 26/08/2013
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.