WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA
YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772. email: met@meteo.go.tz
[African Media Group Radio Station (Magic FM 92.9 and Classic FM 103.1)
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 30/08/2013.
[Mkoa wa Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Mara na Mwanza]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi,
ngurumo katika maeneo machache na vipindi
vya jua.
|
[Mkoa wa Kagera]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Morogoro, Ruvuma Lindi na Mtwara]
:
[Mikoa ya Dodoma, Mbeya,
Singida na Rukwa]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Dar Es Salaam,
Iringa na Pwani]:
[Mikoa ya
Kigoma, Shinyanga na Tabora]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA
NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
22°C
|
14°C
|
12:38
|
12:37
|
D'SALAAM
|
32°C
|
19°C
|
12:30
|
12:22
|
DODOMA
|
28°C
|
15°C
|
12:43
|
12:37
|
KIGOMA
|
31°C
|
17°C
|
01:06
|
01:02
|
MBEYA
|
26°C
|
10°C
|
12:55
|
12:43
|
MWANZA
|
31°C
|
16°C
|
12:51
|
12:51
|
TABORA
|
33°C
|
18°C
|
12:54
|
12:50
|
TANGA |
28°C
|
22°C
|
12:29
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
22°C
|
12:30
|
12:22
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini – Mashariki kwa
kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka
Kaskazini kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumapili:
01/09/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 30/08/2013
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.