WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 13/10/2013.
[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza, na Shinyanga]: [Mkoa
wa Iringa:]
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Tanga,
Dar-es-Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mkoa wa Iringa:]
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Rukwa, Mbeya, na
Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma, Singida
na Tabora]:
[Mikoa ya Lindi, Morogoro
na Mtwara]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA
NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
32°C
|
17°C
|
12:18
|
12:24
|
D'SALAAM
|
31°C
|
23°C
|
12:05
|
12:15
|
DODOMA
|
30°C
|
17°C
|
12:19
|
12:28
|
KIGOMA
|
29°C
|
21°C
|
12:44
|
12:52
|
MBEYA
|
28°C
|
15°C
|
12:28
|
12:39
|
MWANZA
|
30°C
|
18°C
|
12:32
|
12:37
|
TABORA
|
33°C
|
21°C
|
12:32
|
12:40
|
TANGA |
30°C
|
24°C
|
12:07
|
12:15
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
23°C
|
12:05
|
12:15
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 20 kwa saa; kutoka
Kusini-Mashariki kwa
Pwani ya
Kaskazini na kutoka Mashariki kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo.
Matazamio kwa siku ya Jumanne:
15/10/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 13/10/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.