WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 05/12/2013.
[Mikoa ya Kagera Kigoma, Rukwa na Tabora]:
|
|
Hali
ya mawingu, mvua na ngurumo katika
baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua
|
[Mikoa ya Dodoma na
Singida]:
[Mikoa ya Mara,Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Iringa, na
Mbeya ]:
|
|
Hali
ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo
machache na vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Dar-Es-Salaam
na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mkoa wa Morogoro na
Tanga]:
[Mikoa ya Lindi, Mtwara na
Ruvuma]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi , mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.
Hali ya mawingu kiasi ,
mvua nyepesi katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
ANGALIZO: ONGEZEKO LA MVUA LINATEGEMEWA
KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MIKOA YA
KIGOMA, TABORA, RUKWA, KATAVI NA KAGERA.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
28C
|
17°C
|
12:17
|
12:31
|
D'SALAAM
|
33°C
|
23°C
|
11:59
|
12:27
|
DODOMA
|
31°C
|
19°C
|
12:15
|
12:36
|
KIGOMA
|
27°C
|
19°C
|
12:40
|
01:02
|
MBEYA
|
27°C
|
16°C
|
12:19
|
12:53
|
MWANZA
|
27°C
|
20°C
|
12:32
|
12:44
|
TABORA
|
31°C
|
19°C
|
12:28
|
12:50
|
TANGA |
32°C
|
24°C
|
12:03
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
32°C
|
24°C
|
11:59
|
12:27
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvumaKutoka Kaskazini -Mashariki kwa
kasi ya km 20 kwa saa kwa
Pwani yote.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
07/12/2013: Mabadiliko kidogo
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 05/12/2013.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.