UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE 22/04/2014

WIZARA YA UCHUKUZI MAMLAKA   YA HALI YA HEWA S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz UTABIRI WA HALI YA ... thumbnail 1 summary

WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA  YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 22/04/2014.


[Mikoa ya Morogoro, Dar es salaam, Pwani na Tanga]
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya Mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.

 [Mikoa ya Lindi na Mtwara]:

Hali ya Mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.

[Mikoa ya Kagera ,Mara, Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Ruvuma, Rukwa, Mbeya na Iringa]:
[Mikoa ya Tabora na Kigoma]:
Hali ya Mawingu Kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua

[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara ]:
[Mikoa Dodoma na Singida ]:

Hali ya Mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.

ANGALIZO:
VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA UKANDA WA PWANI YA KASKAZINI.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Kiwango cha chini cha joto
Mawio (Saa)
Machweo (Saa)
ARUSHA
24°C
16°C
12:33
12:33
D'SALAAM
30°C
23°C
12:25
12:19
DODOMA
28°C
19°C
12:38
12:34
KIGOMA     
30°C
21°C
01:01
12:59
MBEYA
23°C
14°C
12:50
12:40
MWANZA
29°C
18°C
12:46
12:49
TABORA
30°C
17°C
12:49
12:47
TANGA
31°C
24°C
12:24
12:22
ZANZIBAR
30°C
24°C
12:25
12:19

Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka  Kusini kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini
                     na kutoka  Kusini-Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini       
                                                
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi makubwa Kiasi.

Matazamio kwa siku ya Alhamisi: 24/04/2014: Mabadiliko kidogo

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 22/04/2014.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.