WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 22/04/2014.
[Mikoa ya Morogoro, Dar es salaam, Pwani na Tanga]
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo katika maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa
ya Kagera ,Mara, Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Ruvuma, Rukwa,
Mbeya na Iringa]:
[Mikoa ya Tabora na
Kigoma]:
|
|
Hali ya Mawingu Kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara ]:
[Mikoa Dodoma na Singida ]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
ANGALIZO:
VIPINDI
VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA UKANDA WA PWANI YA
KASKAZINI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
24°C
|
16°C
|
12:33
|
12:33
|
D'SALAAM
|
30°C
|
23°C
|
12:25
|
12:19
|
DODOMA
|
28°C
|
19°C
|
12:38
|
12:34
|
KIGOMA
|
30°C
|
21°C
|
01:01
|
12:59
|
MBEYA
|
23°C
|
14°C
|
12:50
|
12:40
|
MWANZA
|
29°C
|
18°C
|
12:46
|
12:49
|
TABORA
|
30°C
|
17°C
|
12:49
|
12:47
|
TANGA |
31°C
|
24°C
|
12:24
|
12:22
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
24°C
|
12:25
|
12:19
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini kwa
kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini
na kutoka Kusini-Mashariki
kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi makubwa Kiasi.
Matazamio kwa siku ya Alhamisi:
24/04/2014: Mabadiliko kidogo
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 22/04/2014.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.