Siku ya pili ya warsha ya mafunzo kwa mafundi mafriji na viyoyozi kuhusu kemikali rafiki kwa tabaka la hewa ya Ozoni mjini Arusha

Sehemu ya washiriki wakifuatilia mafunzao katika siku ya pili ya warsha ya mafunzo kwa mafundi mafriji na viyoyozi kuhusu kemikali rafik... thumbnail 1 summary
Sehemu ya washiriki wakifuatilia mafunzao katika siku ya pili ya warsha ya mafunzo kwa mafundi mafriji na viyoyozi kuhusu kemikali rafiki kwa tabaka la hewa ya Ozoni mjini Arusha
Aliyesimama bwana Erasto Mosha.. mwalimu kutoka chuo cha ufundi cha VETA Moshi akitoa mafunzo kwa washiriki wakati wa semina kwa mafundi mafriji na viyoyozi kuhusu Filter ya kuchuja gas. (Picha na Evelyn Mkokoi Arusha)