Baadhi
ya Washiriki wa Warsh ya Wadau wa Kufanya Mapitio ya Rasimu ya
Mpangokazi wa Kitaifa wa Usimamizi wa Mazingira Wakimsikiliza Mgeni
Rasmi [Pichani hayupo Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng
Ngosi Mwihava alipokuwa akifunguwa warsh kwenye Hotel ya Top Life Mjini
Morogoro [Picha na Ali Meja]
Chanzo: Morogoro yetu blog