Msaidizi Muhifadhi wa wanyamapori wilaya
ya Morogoro, Abdallah Mtiba akionyesha mitengo ya nyaya za wanyamapori
zaidi ya 120 ambazo majangili kuliwatega wanyama katika hifadhi ya
wanyamapori ya GONABEACH inayozunguka vijiji 21 vya kata ya Bwakila
chini na Kisaki mara baada ya kuzikamata akiwaonyesha waandishi wa
habari (hawapo pichani) katika ofisi za idara hiyo mkoani hapa.
Chanzo: Jumamtanda blog