WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 03/10/2013.
[Mikoa ya Kagera, Mara na
Mwanza ]:
[Mkoa wa Kigoma]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Ruvuma na
Morogoro]:
[Mikoa ya Iringa na Mbeya]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi na mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Tanga ,
Dar-Es-Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[[Mikoa ya Tabora, Rukwa
na Shinyanga ]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Dodoma na
Singida]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
TAARIFA: Mvua zisizo za msimu zitokanazo na
mgandamizo mdogo wa hewa katika Rasi ya Msumbiji,
zinatarajiwa kuendelea katika baadhi ya maeneo ya Nyanda za
Juu Kusini Magharibi na Kusini mwa nchi. Tafadhali fuatilia taarifa za Hali ya
Hewa.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA
NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
27°C
|
15°C
|
12:20
|
12:27
|
D'SALAAM
|
31°C
|
21°C
|
12:08
|
12:17
|
DODOMA
|
30°C
|
18°C
|
12:22
|
12:31
|
KIGOMA
|
24°C
|
20°C
|
12:46
|
12:55
|
MBEYA
|
22°C
|
13°C
|
12:31
|
12:40
|
MWANZA
|
27°C
|
19°C
|
12:35
|
12:41
|
TABORA
|
30°C
|
19°C
|
12:34
|
12:43
|
TANGA |
28°C
|
22°C
|
12:09
|
12:18
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
23°C
|
12:08
|
12:17
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi
ya km 30 kwa saa kwa Pwani
Yote.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
05/10/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 03/10/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.