WIZARA
YA UCHUKUZI
MAMLAKA
YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
UTABIRI WA HALI YA HEWA
KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE
19/01/2014.
[Mikoa
ya Morogoro (Kusini) na Ruvuma]:
[Mikoa ya Iringa na Mbeya
]: |
|
Hali
ya Mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi
vifupi vya jua.
|
[Mikoa
ya Dodoma na Singida]:
[Mikoa
ya Rukwa, Kigoma na Tabora]:
[Mikoa
ya Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa
ya Kagera na Mara]:
|
|
|
[Mikoa
ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro]:
[Mikoa
ya Lindi na Mtwara]:
|
|
|
[Mkoa
wa Morogoro(Kaskazini)]
[Mikoa
ya Dar es salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa
vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya
Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA
JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
|
Kiwango cha juu cha joto
|
Kiwango cha chini cha joto
|
Mawio (Saa)
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA |
27°C
|
13°C
|
12:34
|
12:46
|
D'SALAAM |
33°C
|
24°C
|
12:17
|
12:43
|
DODOMA |
26°C
|
18°C
|
12:32
|
12:56
|
KIGOMA |
29°C
|
21°C
|
12:57
|
01:19
|
MBEYA |
22°C
|
13°C
|
12:36
|
01:10
|
MWANZA |
24°C
|
16°C
|
12:49
|
01:00
|
TABORA |
29°C
|
19°C
|
12:45
|
01:07
|
TANGA |
33°C
|
24°C
|
12:20
|
12:42
|
ZANZIBAR |
32°C
|
25°C
|
12:17
|
12:43
|
Upepo
wa Pwani:Unatarajiwa
kuvuma
kwa
kasi ya km 30 kwa saa;
kutoka
Kaskazini-Mashariki
kwa
Pwani
ya
Kaskazini
na kutoka
Kaskazini kwa
Pwani ya Kusini.
Hali
ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi
Makubwa kiasi.
Matazamio
kwa siku ya Jumanne:
21/01/2014: Mabadiliko
kidogo
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe 19/01/2014.
Na:
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.