Kama una picha za wanyama tuma kwa whatsapp yangu 0757361266!
Sio
kila siku mzungu wa nane wakati mwingine mnaonyeshana makopakopa tu
kikubwa maisha yaendelee, chui na fisi wanakula pamoja!! hahaha ni mara
chache sana kutokea lakini ndo imetokea huko Little Governors Camp ndani ya Masai Mara.
Cheki chui na fisi wanaonyesha uzalendo kwa kushow upendo @50, raha sana!