WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 24/04/2014.
[Mikoa ya Kagera naKigoma]:
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Morogoro, Dar es salaam, Pwani na Tanga]:
[Mikoa
ya Tabora, Mara, Mwanza na Shinyanga]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu Kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Ruvuma, Lindi,
Mtwara na Rukwa,]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara ]:
[Mikoa ya Mbeya na Iringa]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa Dodoma na Singida ]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
24°C
|
17°C
|
12:33
|
12:33
|
D'SALAAM
|
31°C
|
23°C
|
12:25
|
12:19
|
DODOMA
|
30°C
|
18°C
|
12:38
|
12:34
|
KIGOMA
|
28°C
|
19°C
|
01:01
|
12:59
|
MBEYA
|
22°C
|
13°C
|
12:50
|
12:40
|
MWANZA
|
30°C
|
19°C
|
12:46
|
12:49
|
TABORA
|
28°C
|
18°C
|
12:49
|
12:47
|
TANGA |
31°C
|
24°C
|
12:24
|
12:22
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
25°C
|
12:25
|
12:19
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kwa
kasi ya km 20 kwa saa; kutoka kusini-Mashariki kwa Pwani yote
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi madogo.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
26/04/2014: Mabadiliko kidogo
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 24/04/2014.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.