Kundi
la watalii wa ndani ambao minongoni mwao walikuwa ni Askari kutoka chuo
cha taaluma ya Polisi Moshi wakipanda kuelekea Shira Hut moja ya kilele
katika Mlima Kilimanjaro.
Ofa
ya utalii wa ndani katika mlima Kilimanjaro ilijumuisha watu wa Kila
Rika,hapa mmoja wa watalii wa ndani akiwa na mtoto wake mgongoni.
|
Kiasi safari ilikuwa ngumu kwa baadhi ya watalii wa ndani
|
Kila hatua zilizo pigwa wataalii wa ndani walipenda kuchuku Taswiras.
|
Na safari iliendelea hapa ikiongozwa na mkufunzi mkuu wa chuo cha polisi Moshi ,SSP,Grayfton Mushi.
|
Baadhi ya watalii walionekana kuchoka lakini kila walipoulizwa walidai wameweka pozi la picha.
|
Safari ya baba na mwana iliendelea ,Mgongoni ni Mtoto Matinde Chacha akiwa na baba yake John Chacha.
|
Hatimaye watalii wakafika Shira Hut,wengine wakiwa wametupia mavazi ya Suti.
|
Afande akiwa hoi baada ya safari ya saa moja ya kufika Shira Hut.
|
Waliofika wakafurahia madhari nzuri na kupata Taswira ya pamoja.
|
Safari ya kuelekea katika mapango ya Shira(Shira Caves)ikaanza tena kutoka Shira hut.
|
Mkuu
wa mafunzo katika chuo cha taaluma ya Polisi ,Grayfton Mushi akipozi
huku mwenzake Moses Ruvinga ambaye pia ni afisa katika chuo hicho
akichukua taswira.
|
Baadhi ya watalii wa ndani wakiwa ndani ya moja ya Mapango ya Shira yaliyoko katika mlima Kilimanjaro.
|
Watalii wa ndani wakiwa katika eneo hilo la Mapango.
|
Watalii
wa ndani wakatembelea eneo la Shira Camp kujionea watalii wanavyo lala
wakati wakifanya safari ya kuelekea katika kilele cha Kibo .
|
Hapo wakakutana na Wabebaji wa mizigo ya watalii maarufu kama Wagumu na kupata nyinmbo mbalimbali.
|
Waliopanda na vazi la Suti wakaonesha vipaji vyao vya kusakata Kiduku,
|
Wengine walipata fursa ya kupiga picha na watalii waliokuwepo katika kituo hicho.
|
Kutokana na kuchoka wengine waliamua kupumzika katika machela maalum ya kushushia watu waliozidiwa mlimani.
|
Baadae safari ya kurudi toka mlimani ikaanza.
|