WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 19/05/2014.
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa
ya Tanga, Dar es Salaam na Pwani]:
[Visiwa
vya Unguja na Pemba]:
[Mkoa
wa Morogoro]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Mwanza, Kagera
Mara na Shinyanga]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, ngurumo
katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Ruvuma Dodoma na Rukwa]:
[Mikoa ya Tabora Kigoma na
Singida]:
[Mikoa ya Iringa, Njombe na
Mbeya]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
TAHADHARI:
UPEPO MKALI UTAKAOAMBATANA NA MAWIMBI
MAKUBWA YANAYOFIKA MITA 2.0 UNATARAJIWA KATIKA MWAMBAO WOTE WA PWANI. TAFADHALI
CHUKUA TAHADHARI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
15°C
|
12:31
|
12:29
|
D'SALAAM
|
30°C
|
23°C
|
12:26
|
12:12
|
DODOMA
|
28°C
|
16°C
|
12:38
|
12:28
|
KIGOMA
|
31°C
|
20°C
|
01:01
|
12:53
|
MBEYA
|
23°C
|
10°C
|
12:51
|
12:33
|
MWANZA
|
29°C
|
17°C
|
12:44
|
12:44
|
TABORA
|
31°C
|
18°C
|
12:49
|
12:41
|
TANGA |
29°C
|
23°C
|
12:24
|
12:16
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
24°C
|
12:26
|
12:12
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa
kuvuma kwa kasi ya km 40 kwa saa; kutoka
Kusini katika Pwani ya
Kaskazini na kutoka Kusini-mashariki katika
Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa.
Matazamio kuanzia siku ya Jumatano tarehe 21/05/2014 Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu
umetolewa leo tarehe 19/05/2014.
Na: MAMLAKA YA
HALI YA HEWA TANZANIA.