Waziri wa Nchi Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Eng. Dkt Binilith
Satano Mahenge akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)
Ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya siku ya
Mazingira duniani yatakayofanyika 5 juni mwaka huu jijini Mwanza.
Waziri wa Nchi Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Eng.
Binilith Satano Mahenge (kwanza kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi
wa habari (hawapo pichani), pembeni ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya
Makamu wa Rais Eng. Angelina Madete.
Sehemu ya waandishi wa habari
wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi Mazingira Ofisi ya Makamu wa
Rais Mh. Eng. Binilith Mahenge(hayupo pichani).
PICHA:Ofisi ya Makamu wa Rais.