WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 20/05/2014.
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa
ya Tanga, Dar es Salaam na Pwani]:
[Visiwa
vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kagera na
Shinyanga]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, ngurumo
katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Mara na Mwanza]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo
katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Ruvuma Dodoma na Rukwa]:
[Mikoa ya Tabora Kigoma na
Singida]:
[Mikoa ya Iringa, Njombe na
Mbeya]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
[Mkoa wa Morogoro]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
24°C
|
15°C
|
12:32
|
12:28
|
D'SALAAM
|
29°C
|
20°C
|
12:27
|
12:11
|
DODOMA
|
27°C
|
15°C
|
12:40
|
12:26
|
KIGOMA
|
31°C
|
18°C
|
01:02
|
12:52
|
MBEYA
|
22°C
|
10°C
|
12:53
|
12:31
|
MWANZA
|
30°C
|
21°C
|
12:45
|
12:43
|
TABORA
|
30°C
|
17°C
|
12:50
|
12:40
|
TANGA |
27°C
|
22°C
|
12:25
|
12:15
|
ZANZIBAR
|
28°C
|
24°C
|
12:27
|
12:11
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa
kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka
Kusini katika Pwani ya Kaskazini na
kutoka Kusini-mashariki katika Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa kiasi.
Matazamio kuanzia siku ya Alhamisi tarehe 22/05/2014 Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu
umetolewa leo tarehe 20/05/2014.
Na: MAMLAKA YA
HALI YA HEWA TANZANIA.