WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 25/12/2013.
[Mikoa ya Iringa, Mbeya
na Rukwa]:
[Mkoa wa Morogoro (
Kusini)]:
[Mkoa wa Ruvuma]:
[Mikoa ya Lindi, Mtwara]:
|
Hali
ya mawingu, mvua na ngurumo katika
baadhi ya maeneo na vipindi
vifupi vya jua.
|
|
[Mikoa ya Kigoma na Tabora]:
[Mikoa ya Kagera, Mara,
Mwanza na Shinyanga]:
|
Hali
ya Mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika
maeneo machache na vipindi vya jua.
|
|
[Mkoa wa Morogoro
(Kaskazini na Tanga]:
[Mikoa ya Dar es salaam na
Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
|
[Mikoa ya Arusha, Manyara
na Kilimanjaro]:
Mikoa ya Dodoma na Singida]:
|
Hali
ya mawingu kiasi na vipindi vya jua
|
TAHADHARI:
UPEPO MKALI UNAOZIDI KM 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOZIDI MITA 2
YANATARAJIWA KATIKA MAENEO YOTE YA PWANI. TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
14°C
|
12:25
|
12:39
|
D'SALAAM
|
33°C
|
26°C
|
12:06
|
12:36
|
DODOMA
|
28°C
|
21°C
|
12:22
|
12:48
|
KIGOMA
|
27°C
|
21°C
|
12:48
|
01:10
|
MBEYA
|
25°C
|
13°C
|
12:26
|
01:02
|
MWANZA
|
30°C
|
19°C
|
12:40
|
12:52
|
TABORA
|
26°C
|
17°C
|
12:36
|
12:58
|
TANGA |
32°C
|
26°C
|
12:11
|
12:33
|
ZANZIBAR
|
33°C
|
26°C
|
12:06
|
12:36
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 40; kutoka Kaskazini-Mashariki kwa
saa kwa Pwani ya
Kaskazini na kwa kasi ya km
30 kutoka Kaskazini kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi hadi makubwa
Matazamio kwa siku ya Ijumaa:
27/12/2013: Mabadiliko kidogo
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 25/12/2013.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.