WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 01/01/2014.
[Mikoa ya Iringa, Mbeya na Rukwa]:
|
Hali ya Mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
| |
[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Kigoma na Tabora]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida]:
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
| |
[Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro]:
[Mikoa ya Ruvuma na Morogoro ( Kusini)]:
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.
| |
[Mikoa ya Dar es salaam, Pwani na Tanga]:
[Mkoa wa Morogoro (Kaskazini)]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
Hali ya Mawingu kiasi na mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
TAHADHARI: UPEPO MKALI UNAOZIDI KM 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOZIDI MITA 2 YANATARAJIWA KATIKA MAENEO YA PWANI YOTE. TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango cha juu cha joto
|
Kiwango cha chini cha joto
|
Mawio (Saa)
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA
|
29°C
|
15°C
|
12:25
|
12:39
|
D'SALAAM
|
34°C
|
25°C
|
12:06
|
12:36
|
DODOMA
|
31°C
|
20°C
|
12:22
|
12:48
|
KIGOMA
|
29°C
|
19°C
|
12:48
|
01:10
|
MBEYA
|
25°C
|
15°C
|
12:26
|
01:02
|
MWANZA
|
25°C
|
18°C
|
12:40
|
12:52
|
TABORA
|
30°C
|
18°C
|
12:36
|
12:58
|
TANGA |
32°C
|
24°C
|
12:11
|
12:33
|
ZANZIBAR
|
33°C
|
24°C
|
12:06
|
12:36
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 40 kwa saa kutoka Kaskazini-Mashariki kwa Pwani ya
Kaskazini na kutoka Kaskazini kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Ijumaa: 03/01/2014: Mabadiliko kidogo
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 01/01/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.