WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 25/06/2014.
[Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani
na Tanga]:
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Mara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi,
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kigoma, Geita,
Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Tabora, Rukwa,
Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Simiyu, Kagera,
Katavi na Morogoro]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe
na Ruvuma]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
14°C
|
12:38
|
12:32
|
D'SALAAM
|
30°C
|
20°C
|
12:34
|
12:14
|
DODOMA
|
25°C
|
13°C
|
12:47
|
12:29
|
KIGOMA
|
31°C
|
18°C
|
01:09
|
12:55
|
MBEYA
|
21°C
|
08°C
|
01:00
|
12:34
|
MWANZA
|
30°C
|
17°C
|
12:50
|
12:49
|
TABORA
|
29°C
|
14°C
|
12:57
|
12:43
|
TANGA |
30°C
|
21°C
|
12:32
|
12:18
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
24°C
|
12:34
|
12:14
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka Kusini kwa Pwani ya
Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki
katika Pwani ya
Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa
kiasi.
Matazamio kwa siku ya Ijumaa:
27/06/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 25/06/2014.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.