Dunia kukumbwa na giza totoro kwa muda wa siku sita, hakutakuwa na jua masaa yote

NASA imethibitisha kwamba dunia itakabiliwa na takribani siku 6 za giza totoro kuanzia Jumanne  ya tarehe 16  hadi Jumatatu ya ta... thumbnail 1 summary
Screen Shot 2014-10-24 at 6.36.06 PMNASA imethibitisha kwamba dunia itakabiliwa na takribani siku 6 za giza totoro kuanzia Jumanne  ya tarehe 16  hadi Jumatatu ya tarehe 22 Desemba. Siku tatu kati ya hizo sita Dunia itabaki  bila ya jua kutokana na dhoruba ya jua, ambayo itasababishwa na vumbi na uchafu kwenye mfumo wa jua na hivyo kuzuia 90% ya jua.

Mkuu wa NASA Charles Bolden ametoa tangazo hilo na kuwasihi watu kutokuwa na wasiwasi juu ya tukio hilo ambalo ni kubwa na la kihistoria kutokea tangu miaka 250 iliyopita kwa kipindi cha masaa 216 kwa jumla.
 
Licha ya siku sita za giza zinazokuja, maafisa wanasema kwamba dunia haitakumbwa na tatizo kubwa wakati wa giza hilo

Swali langu ni kwako msomaji, Utafanya nini wakati wa siku hizi sita za giza?