WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 05/08/2013.
[Mikoa ya Pwani,Tanga na
Dar es salaam]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mkoa wa Morogoro]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi mvua nyepesi katika baadhi ya maeneo na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Mwanza na Mara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi ,
ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Kagera]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua na
ngurumo katika maeneo machache
na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Shinyanga, Dodoma
na Singida]:
[Mikoa ya Rukwa, Mbeya na Ruvuma]:
[Mikoa ya Tabora, Iringa na Kigoma]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA
NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
19°C
|
14°C
|
12:41
|
12:38
|
D'SALAAM
|
31°C
|
19°C
|
12:36
|
12:21
|
DODOMA
|
25°C
|
15°C
|
12:48
|
12:37
|
KIGOMA
|
27°C
|
18°C
|
01:11
|
01:02
|
MBEYA
|
20°C
|
10°C
|
01:01
|
12:42
|
MWANZA
|
28°C
|
16°C
|
12:54
|
12:53
|
TABORA
|
28°C
|
15°C
|
12:59
|
12:50
|
TANGA |
25°C
|
21°C
|
12:34
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
22°C
|
12:37
|
12:21
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini -Mashariki kwa kasi
ya km 30 kwa saa kwaPwani ya
Kaskazini na kwa kasi ya
km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini .
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa Kiasi .
Matazamio kwa siku ya Jumatano:
07/08/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 05/08/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.