WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 01/04/2014.
[Mikoa ya Ruvuma ,Mbeya,
Iringa na Rukwa]:
[Morogoro
kusini (Mahenge)]:
[Mikoa
ya Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa
ya Mara, Mwanza, Kagera, Shinyanga]:
[Mkoa
wa Kigoma]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa
ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa
ya Dar es salaam, Pwani na Tanga]:
[Mikoa
ya Tabora, Singida na Dodoma]:
[Visiwa
vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya
jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
16°C
|
12:36
|
12:38
|
D'SALAAM
|
30°C
|
22°C
|
12:27
|
12:25
|
DODOMA
|
28°C
|
18°C
|
12:40
|
12:39
|
KIGOMA
|
29°C
|
21°C
|
01:04
|
01:05
|
MBEYA
|
25°C
|
14°C
|
12:51
|
12:48
|
MWANZA
|
30°C
|
20°C
|
12:50
|
12:53
|
TABORA
|
30°C
|
17°C
|
12:52
|
12:53
|
TANGA |
31°C
|
24°C
|
12:27
|
12:28
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
24°C
|
12:27
|
12:25
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa
kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya
Kaskazini na
kwa kasi ya km 10 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi madogo.
Matazamio kwa siku ya Alhamis:
3/04/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe 01/04/2014.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.