Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Waziri wa Maiasili na Utalii, Hamisi Kagasheki (wapili kulia), Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dr. Mary Nagu (kulia), Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa (watatu kushoto ), Mbunge wa Tabora Mjini Aden Rage (kushoto) na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha Nyuki Tabora, Liana Hassan (watatu kulia) wakiimba wimbo wa Taifa katika mahafali ya Chuo cha Nyuki cha Tabora ambapo Mgeni rasmi alikuwa ni Waziri Mkuu Agosti 30, 2013 |