Diamond katika picha hizo alizoshare kwa mashabiki wake ambazo ninaamini aliweka tu bila kujua alikuwa akitangaza hoteli hiyo jambo ambalo pengine wasanii wangeanza kulitumia kama biashara angeweza kulipwa kwa kushare picha hizo kwa mashabiki wake.
Unadhani ni watu wangapi sasa watapenda kufikia kwenye hoteli hiyo ambayo Diamond kafikia huko Malaysia?
Diamond aliweka picha hizo zikiambatana na maneo haya: "Pichani ni chumba cha hotel ninamopumzishia mbavu zangu Tayari kabisa kwa kwa kuwapa watu wangu wa Malaysia burudani inayowastahili pamoja na kuiwakilisha nchi yangu Tanzania ''
"I hope mashabiki wangu tayari mnafahamu kuwa nimo nchini Malaysia kwa Tour ya kimziki,nashukuru Mungu nilifikia salama kabisa mimi na team yangu ya WCB WASAFI, nimepata mapokezi mazuri kiukweli kiasi cha kujiskia niko nyumbani"